Neh. 3:8 SUV

8 Na baada yao akafanyiza Uzieli, mwana wa Harhaya, mmoja wa mafundi wa dhahabu. Na baada yake akafanyiza Hanania, mmoja wa mafundi wa manukato, nao wakaujengea Yerusalemu buruji mpaka ule ukuta mpana.

Kusoma sura kamili Neh. 3

Mtazamo Neh. 3:8 katika mazingira