Neh. 8:13 SUV

13 Hata siku ya pili wakuu wa mbari za mababa za watu wote, na makuhani, na Walawi, wakamkusanyikia Ezra, mwandishi, ili wapate kuyasikiliza maneno ya torati.

Kusoma sura kamili Neh. 8

Mtazamo Neh. 8:13 katika mazingira