Neh. 8:18 SUV

18 Tena siku baada ya siku, tangu siku ya kwanza hata siku ya mwisho, akasoma katika kitabu cha torati ya Mungu. Wakafanya sikukuu muda wa siku saba; na siku ya nane palikuwa na kusanyiko la makini, kama ilivyoagizwa.

Kusoma sura kamili Neh. 8

Mtazamo Neh. 8:18 katika mazingira