Sef. 1:11 SUV

11 Haya! Lieni, ninyi mkaao katika Makteshi, maana wafanya biashara wote wameangamia; hao wote waliokuwa na mizigo ya fedha wamekatiliwa mbali.

Kusoma sura kamili Sef. 1

Mtazamo Sef. 1:11 katika mazingira