Sef. 1:12 SUV

12 Kisha itakuwa wakati ule, nitauchunguza Yerusalemu kwa taa; nami nitawaadhibu watu walioganda juu ya sira zao; wasemao katika mioyo yao, BWANA hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.

Kusoma sura kamili Sef. 1

Mtazamo Sef. 1:12 katika mazingira