1 Laiti ungekuwa kama ndugu yangu,Aliyeyanyonya matiti ya mamangu!Kama ningekukuta huko nje,Ningekubusu, asinidharau mtu.
2 Ningekuongoza nyumbani mwa mamangu,Naye angenifundisha;Ningekunywesha divai iliyokolea,Divai mpya ya mkomamanga wangu.
3 Mkono wake wa kushoto ungekuwa chini ya kichwa changu,Nao wa kuume ungenikumbatia.
4 Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu,Kwani kuyachochea mapenzi, au kuyaamsha,Hata yatakapoona vema?