2 Mungu Baba aliwateua nyinyi kufuatana na kusudi lake, na mmefanywa watakatifu na Roho, mpate kumtii Yesu Kristo na kusafishwa kwa damu yake.Nawatakieni neema na amani tele.
Kusoma sura kamili 1 Petro 1
Mtazamo 1 Petro 1:2 katika mazingira