1 Petro 1:4 BHN

4 na hivyo tunatazamia kupata baraka zile ambazo Mungu aliwawekea watu wake. Mungu amewawekeeni baraka hizo mbinguni ambako haziwezi kuoza, au kuharibika, au kufifia.

Kusoma sura kamili 1 Petro 1

Mtazamo 1 Petro 1:4 katika mazingira