2 Wakorintho 10:11 BHN

11 Mtu asemaye hivyo heri akumbuke kwamba hakuna tofauti ya yale tunayoandika katika barua wakati tuko mbali, na yale tutakayofanya wakati tutakapokuwa nanyi.

Kusoma sura kamili 2 Wakorintho 10

Mtazamo 2 Wakorintho 10:11 katika mazingira