2 Wakorintho 10:12 BHN

12 Kwa vyovyote hatungethubutu kujiweka au kujilinganisha na wale watu wanaojisifia wenyewe. Watu wenye kujifanya wao kuwa kipimo cha kujipimia, na watu wanaojilinganisha wenyewe kwa wenyewe, ni wapumbavu.

Kusoma sura kamili 2 Wakorintho 10

Mtazamo 2 Wakorintho 10:12 katika mazingira