2 Wakorintho 10:13 BHN

13 Lakini sisi hatutajivuna kupita kiasi; kujivuna huko kutabaki katika kile kipimo cha kazi aliyotukabidhi Mungu, kazi ambayo tunaifanya pia kwenu.

Kusoma sura kamili 2 Wakorintho 10

Mtazamo 2 Wakorintho 10:13 katika mazingira