2 Wakorintho 12:6 BHN

6 Kama ningetaka kujivuna singekuwa mpumbavu hata kidogo, maana ningekuwa nasema ukweli tupu. Lakini sitajivuna; sipendi mtu anifikirie zaidi ya vile anavyoona na kusikia kutoka kwangu.

Kusoma sura kamili 2 Wakorintho 12

Mtazamo 2 Wakorintho 12:6 katika mazingira