Luka 10:35 BHN

35 Kesho yake akatoa fedha dinari mbili akampa yule mwenye nyumba, akamwambia, ‘Mwuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa nitakaporudi.’”

Kusoma sura kamili Luka 10

Mtazamo Luka 10:35 katika mazingira