Luka 12:37 BHN

37 Heri yao watumishi wale ambao bwana wao atakaporudi atawakuta wanakesha! Nawaambieni hakika, huyo bwana atajifunga mkanda kiunoni, atawaketisha mezani na kuwahudumia.

Kusoma sura kamili Luka 12

Mtazamo Luka 12:37 katika mazingira