Luka 20:19 BHN

19 Waalimu wa sheria na makuhani wakuu walifahamu kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu, na hivyo walitaka kumkamata palepale, ila tu waliogopa watu.

Kusoma sura kamili Luka 20

Mtazamo Luka 20:19 katika mazingira