Luka 20:21 BHN

21 Hao wapelelezi wakamwambia, “Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli; tunajua kwamba wewe huna ubaguzi; wewe wafundisha ukweli juu ya njia ya Mungu.

Kusoma sura kamili Luka 20

Mtazamo Luka 20:21 katika mazingira