Luka 8:14 BHN

14 Zile zilizoanguka kwenye miti ya miiba ni watu wale wanaosikia lile neno, lakini muda si muda, wanapokwenda zao, husongwa na wasiwasi, mali na anasa za maisha, nao hawazai matunda yakakomaa.

Kusoma sura kamili Luka 8

Mtazamo Luka 8:14 katika mazingira