Luka 8:24 BHN

24 Wale wanafunzi wakamwendea Yesu, wakamwamsha wakisema, “Bwana, Bwana! Tunaangamia!” Yesu akaamka, akaukemea upepo na mawimbi ya maji, navyo vikatulia, kukawa shwari.

Kusoma sura kamili Luka 8

Mtazamo Luka 8:24 katika mazingira