Luka 8:27 BHN

27 Alipokuwa anashuka pwani, mtu mmoja aliyekuwa amepagawa na pepo alimjia kutoka mjini. Kwa muda mrefu mtu huyo hakuwa anavaa nguo, wala hakuwa anaishi nyumbani bali makaburini.

Kusoma sura kamili Luka 8

Mtazamo Luka 8:27 katika mazingira