Matendo 22:25 BHN

25 Lakini walipokwisha mfunga ili wamchape viboko, Paulo alimwuliza jemadari mmoja aliyesimama hapo, “Je, ni halali kwenu kumpiga viboko raia wa Roma kabla hajahukumiwa?”

Kusoma sura kamili Matendo 22

Mtazamo Matendo 22:25 katika mazingira