Mathayo 24:2 BHN

2 Yesu akawaambia, “Sawa, mnaweza kuyatazama haya yote! Kweli nawaambieni, hakuna hata jiwe moja litakalosalia hapa juu ya lingine; kila kitu kitaharibiwa.”

Kusoma sura kamili Mathayo 24

Mtazamo Mathayo 24:2 katika mazingira