10 Watu waishio duniani watafurahia kifo cha hao wawili. Watafanya sherehe na kupelekeana zawadi, maana manabii hawa wawili walikuwa wamewasumbua mno watu wa dunia.
Kusoma sura kamili Ufunuo 11
Mtazamo Ufunuo 11:10 katika mazingira