Ufunuo 11:10 BHN

10 Watu waishio duniani watafurahia kifo cha hao wawili. Watafanya sherehe na kupelekeana zawadi, maana manabii hawa wawili walikuwa wamewasumbua mno watu wa dunia.

Kusoma sura kamili Ufunuo 11

Mtazamo Ufunuo 11:10 katika mazingira