Ufunuo 11:12 BHN

12 Kisha, hao manabii wawili wakasikia sauti kubwa kutoka mbinguni ikiwaambia, “Njoni hapa juu!” Nao wakapanda juu mbinguni katika wingu, maadui zao wakiwa wanawatazama.

Kusoma sura kamili Ufunuo 11

Mtazamo Ufunuo 11:12 katika mazingira