Ufunuo 11:13 BHN

13 Wakati huohuo, kukatokea tetemeko kubwa la ardhi, sehemu moja ya kumi ya ardhi ikaharibiwa. Watu 7,000 wakauawa kwa tetemeko hilo la ardhi. Watu waliosalia wakaogopa sana, wakamtukuza Mungu wa mbinguni.

Kusoma sura kamili Ufunuo 11

Mtazamo Ufunuo 11:13 katika mazingira