Ufunuo 11:18 BHN

18 Watu wa mataifa waliwaka hasira,lakini ghadhabu yako imefika,naam wakati wa kuwahukumu wafu.Ndio wakati wa kuwatuza watumishi wako manabii,watakatifu na wote wanaolitukuza jina lako, wakubwa kwa wadogo.Ni wakati wa kuwaangamiza waangamizi wa dunia.”

Kusoma sura kamili Ufunuo 11

Mtazamo Ufunuo 11:18 katika mazingira