Ufunuo 11:6 BHN

6 Hao wanayo mamlaka ya kufunga anga, mvua isinyeshe wakati wanapotoa unabii. Tena wanayo mamlaka ya kuzigeuza chemchemi zote za maji ziwe damu, na ya kusababisha maafa ya kila namna duniani kila mara wanapopenda.

Kusoma sura kamili Ufunuo 11

Mtazamo Ufunuo 11:6 katika mazingira