Ufunuo 14:18 BHN

18 Kisha malaika mwingine msimamizi wa moto, akatoka madhabahuni, akamwambia kwa sauti kubwa yule malaika mwenye mundu wenye makali, “Nawe tia huo mundu wako mkali, ukakate vichala vya mizabibu ya dunia, maana zabibu zake zimeiva!”

Kusoma sura kamili Ufunuo 14

Mtazamo Ufunuo 14:18 katika mazingira