Ufunuo 14:19 BHN

19 Basi, malaika huyo akautupa mundu wake duniani, akakata zabibu za dunia, akazitia ndani ya chombo kikubwa cha kukamulia zabibu, chombo cha ghadhabu ya Mungu.

Kusoma sura kamili Ufunuo 14

Mtazamo Ufunuo 14:19 katika mazingira