Ufunuo 16:12 BHN

12 Kisha, malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa uitwao Eufrate. Maji yake yakakauka, na hivyo njia ikawekwa kwa ajili ya wafalme kutoka mashariki.

Kusoma sura kamili Ufunuo 16

Mtazamo Ufunuo 16:12 katika mazingira