Ufunuo 17:16 BHN

16 Pembe zile kumi ulizoziona na yule mnyama watamchukia huyo mzinzi. Watachukua kila kitu alicho nacho na kumwacha uchi; watakula nyama yake na kumteketeza kwa moto.

Kusoma sura kamili Ufunuo 17

Mtazamo Ufunuo 17:16 katika mazingira