Ufunuo 20:11 BHN

11 Kisha, nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe, na yule aketiye juu yake. Dunia na mbingu vikatoweka mbele ya macho yake, na havikuonekana tena.

Kusoma sura kamili Ufunuo 20

Mtazamo Ufunuo 20:11 katika mazingira