Ufunuo 20:10 BHN

10 Naye Ibilisi aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka madini ya kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele.

Kusoma sura kamili Ufunuo 20

Mtazamo Ufunuo 20:10 katika mazingira