Ufunuo 20:3 BHN

3 Malaika akalitupa kuzimu, akaufunga mlango wa kuingilia huko na kuutia mhuri ili lisiweze tena kuyapotosha mataifa mpaka hapo miaka 1,000 itakapotimia. Lakini baada ya miaka hiyo ni lazima lifunguliwe tena, lakini kwa muda mfupi tu.

Kusoma sura kamili Ufunuo 20

Mtazamo Ufunuo 20:3 katika mazingira