14 Kuta za mji huo zilikuwa zimejengwa juu ya mawe ya msingi kumi na mawili, na juu ya kila jiwe palikuwa pameandikwa mojawapo ya majina ya wale mitume kumi na wawili wa Mwanakondoo.
Kusoma sura kamili Ufunuo 21
Mtazamo Ufunuo 21:14 katika mazingira