Ufunuo 21:9 BHN

9 Kisha mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na yale mabakuli saba yaliyokuwa yamejaa mabaa saba ya mwisho, akaja na kuniambia, “Njoo! Nami nitakuonesha bibi arusi, mkewe Mwanakondoo!”

Kusoma sura kamili Ufunuo 21

Mtazamo Ufunuo 21:9 katika mazingira