Ufunuo 5:8 BHN

8 Mara tu alipokwisha twaa hicho kitabu, wale viumbe hai wanne pamoja na wale wazee ishirini na wanne walianguka kifudifudi mbele ya Mwanakondoo. Kila mmoja alikuwa na kinubi na bakuli za dhahabu zilizojaa ubani, ambao ni sala za watu wa Mungu.

Kusoma sura kamili Ufunuo 5

Mtazamo Ufunuo 5:8 katika mazingira