1 Kisha, nikamwona Mwanakondoo anavunja mhuri mmojawapo wa ile mihuri saba. Nikasikia mmoja wa wale viumbe hai wanne akisema kwa sauti kama ya ngurumo, “Njoo!”
Kusoma sura kamili Ufunuo 6
Mtazamo Ufunuo 6:1 katika mazingira