Ufunuo 6:11 BHN

11 Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watauawa kama wao wenyewe walivyouawa.

Kusoma sura kamili Ufunuo 6

Mtazamo Ufunuo 6:11 katika mazingira