Ufunuo 6:12 BHN

12 Kisha nikatazama, na wakati Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa sita, kukawa na tetemeko kubwa la ardhi; jua likawa jeusi kama gunia la manyoya; mwezi wote ukawa mwekundu kama damu;

Kusoma sura kamili Ufunuo 6

Mtazamo Ufunuo 6:12 katika mazingira