Ufunuo 7:10 BHN

10 Wakapaza sauti: “Ukombozi wetu watoka kwa Mungu wetu aketiye juu ya kiti cha enzi, na kutoka kwa Mwanakondoo!”

Kusoma sura kamili Ufunuo 7

Mtazamo Ufunuo 7:10 katika mazingira