13 Kisha, nikatazama, nikasikia tai akiruka juu kabisa angani, anasema kwa sauti kubwa, “Ole, ole, ole kwa wanaoishi duniani wakati malaika watatu waliobaki watakapopiga tarumbeta zao!”
Kusoma sura kamili Ufunuo 8
Mtazamo Ufunuo 8:13 katika mazingira