Ufunuo 8:13 BHN

13 Kisha, nikatazama, nikasikia tai akiruka juu kabisa angani, anasema kwa sauti kubwa, “Ole, ole, ole kwa wanaoishi duniani wakati malaika watatu waliobaki watakapopiga tarumbeta zao!”

Kusoma sura kamili Ufunuo 8

Mtazamo Ufunuo 8:13 katika mazingira