Ufunuo 8:5 BHN

5 Kisha, malaika akakichukua hicho chetezo, akakijaza moto wa madhabahuni, akakitupa duniani. Kukawa na ngurumo, sauti, umeme na tetemeko la ardhi.

Kusoma sura kamili Ufunuo 8

Mtazamo Ufunuo 8:5 katika mazingira