Waebrania 2:3 BHN

3 Basi, sisi tutaokokaje kama hatuujali wokovu mkuu kama huu? Kwanza Bwana mwenyewe aliutangaza wokovu huu, na wale waliomsikia walituthibitishia kwamba ni kweli.

Kusoma sura kamili Waebrania 2

Mtazamo Waebrania 2:3 katika mazingira