Waebrania 3:17 BHN

17 Mungu aliwakasirikia akina nani kwa miaka arubaini? Aliwakasirikia wale waliotenda dhambi, maiti zao zikatapakaa kule jangwani.

Kusoma sura kamili Waebrania 3

Mtazamo Waebrania 3:17 katika mazingira