Waebrania 4:14 BHN

14 Basi, tuzingatie kwa makini imani tunayoiungama. Maana tunaye Kuhani Mkuu aliyeingia mpaka mbinguni; Yesu, Mwana wa Mungu.

Kusoma sura kamili Waebrania 4

Mtazamo Waebrania 4:14 katika mazingira