Yohane 12:36 BHN

36 Basi, wakati mnao huo mwanga uaminini ili mpate kuwa watu wa mwanga.” Baada ya kusema maneno hayo, Yesu alikwenda zake na kujificha mbali nao.

Kusoma sura kamili Yohane 12

Mtazamo Yohane 12:36 katika mazingira