Yohane 5:13 BHN

13 Lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu.

Kusoma sura kamili Yohane 5

Mtazamo Yohane 5:13 katika mazingira