Yohane 5:14 BHN

14 Basi, baadaye Yesu alimkuta huyo aliyeponywa hekaluni, akamwambia, “Sasa umepona; usitende dhambi tena, usije ukapatwa na jambo baya zaidi.”

Kusoma sura kamili Yohane 5

Mtazamo Yohane 5:14 katika mazingira