Yohane 5:19 BHN

19 Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, Mwana hawezi kufanya kitu peke yake; anaweza tu kufanya kile anachomwona Baba akikifanya. Maana kile anachofanya Baba, Mwana hukifanya vilevile.

Kusoma sura kamili Yohane 5

Mtazamo Yohane 5:19 katika mazingira