Yohane 7:32 BHN

32 Mafarisayo waliwasikia watu wakinongona maneno hayo juu ya Yesu. Basi, wao pamoja na makuhani wakuu wakawatuma walinzi wamtie nguvuni.

Kusoma sura kamili Yohane 7

Mtazamo Yohane 7:32 katika mazingira